Author: Charles Adika
-
MAWAZIRI WALIOTEULIWA WATAKIWA KUWAHUDUMIA WAKAAZI TRANSNZOIA KWA USALAMA
C Natembeakatika kaunti ya Transnzoia majina hayo yakiwasilishwa kwenye Bunge la kaunti hiyo kabla ya kupigwa msasa Kinara wa wachache katika Bunge hilo Erick Wafula Mwangale ametaka walioteuliwa kuwa tayari […]
-
WAKAAZI WAHAKIKISHIWA KUPATIKANA SULUHU KWA KIWANDA CHA SARUJI SEBIT POKOT MAGHARIBI
Wakazi wa eneo la batei katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamehakikishiwa kuwa kutapatikana suluhu kuhusu utata unaozingira kiwanda cha saruji cha sebit hasa kuhusiana na mbinu inayotumika kuwaajiri wanaofanya […]
-
GAVANA WA POKOT MAGHARIBI AHIDI KUTEKELEZA ALIYOSEMA WAKATI WA KAMPEINI
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amewahakikishia wakazi wa kaunti hii kwamba uongozi wake utahakikisha kwamba unatimiza yote aliyowaahidi wakazi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa […]
-
WAZIRI ALIYEAPISHWA KAUNTI YA POKOT AAHIDI KUHAKIKISHA HALI ZA HOSPITALI ZOTE ZINAIMARIKA
Waziri wa afya katika kaunti hii ya Pokot magharibi Cleah Parklea amewaahidi wakazi wa kaunti hii huduma bora na sawa za afya katika hospitali na zahanati zote zinazopatikana katika kaunti […]
Top News








