Author: Charles Adika
-
CHANGAMOTO YATOLEWA KWA VIJANA KUHUSIKA KATIKA KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI.
Vijana kutoka wadi ya Chepareria eneo bunge la Pokot kusini wametakiwa kukumbatia upanzi wa miti na kuelimisha jamii kupitia mitandao kufuatia ongezeko la ukame unaoshuhudiwa nchini.Mshirikishi wa shirika la Green […]
-
RIPOTI YA MCHUJO WA MAWAZIRI TRANS NZOIA YATARAJIWA BUNGENI.
Kamati ya uteuzi katika kaunti ya Trans nzoia inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake bungeni baada kukamilisha kuandaa ripoti ya mawaziri wateule iliyowahoji juma lililopita.Baada ya kuiwasilisha ripoti hiyo wawakilishi wadi thelathini […]
Top News







