Author: Charles Adika
-
GAVANA KACHAPIN ATISHIA KUFUNGULIA MASHITAKA SERIKALI YA UINGEREZA KUFUATIA MAUAJI YA KOLOWA.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amekariri msimamo wake wa kufungua kesi dhidi ya serikali ya uingereza kufuatia mauaji ya wafuasi wa dini ya mafuta pole yanayodaiwa […]
-
KOMONGIRO ATETEA BARAZA LA MAWAZIRI POKOT MAGHARIBI.
Mwakilishi wadi ya Sook katika kaunti hii ya Pokot magharibi Martine Komongiro ametetea uteuzi wa maafisa wanaohudumu katika serikali ya gavana Simon Kachapin kufuatia lalama za baadhi kuwa waliahidiwa nafasi […]
-
UTEUZI WA JOEL ARUMONYANG KAMA KATIBU WAENDELEA KUVUTIA HISIA POKOT MAGHARIBI.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza uteuzi wa rais William Ruto wa makatibu katika wizara mbali mbali za serikali yake.Kachapin aidha alipongeza uteuzi wa Joel Arumonyang […]
-
MIITO YA MISAADA YATOLEWA HUKU BAA LA NJAA LIKIENDELEA KUKITA MIZIZI TURKANA.
Mwenyekiti wa jamii ya Turkana kaunti ya Trans nzoia Jackson Eragai amewataka wanasiasa, wafanyibiashara na watu wenye nia njema kutoa msaada wa chakula kwa wakazi wa kaunti ya Turkana ili […]
Top News









