Author: Charles Adika
-
BUNGE LA TRANS NZOIA LATAKIWA KUMAKINIKA KATIKA KUWAPIGA MSASA MAWAZIRI WA NATEMBEYA.
Gavana wa kaunti ya Trans nzoia George Natembeya ametetea orodha ya majina ya maafisa watakaohudumu katika serikali yake na ambayo anatarajiwa kuwasilisha katika bunge la kaunti hiyo kupigwa msasa akisema […]
-
SHULE ZASALIA MAHAME KACHELIBA KUFUATIA MAKALI YA NJAA
Shule nyingi eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magaribi zinakosa mgao wa kutosha unaotolewa na serikali kuu kuendesha shughuli shuleni humo kutokana na idadi ndogo ya wanafunzi katika […]
-
Aston Villa Yamteua Aliyekuwa Kocha wa Arsenal Unai Emery Baada ya Steven Gerrard Kutimuliwa.
Aston Villa wamemteua kocha wa Villareal, Unai Emery kuwa kocha mpya wa klabu hiyo baada ya Steven Gerrard kupigwa kalamu Emery atawachana na majukumu yake Uhispania, ambapo kwa sasa Villareal […]
-
WAASI WA ELIMU WATATIZA USALAMA LOMUT
Asasi za usalama katika serikali, kaunti ndogo ya Pokot ya kati kaunti hii ya Pokot magharibi zimetakiwa kushughulikia tatizo la vijana kujitosa kwenye visa vya uporaji na kusababisha hali ya […]
-
UHABA WA MAJI WAZIDI KUWA KERO CHEPTUYA
Wenyeji wa eneo la Cheptuya katika wadi ya Mnagei eneo bunge la Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia uhaba wa maji baada ya serikali kusitisha kwa muda mpango […]
Top News









