Author: Charles Adika
-
MWANAYE KIPNG’OK AIDHINISHWA RASMI NAIBU GAVANA WA BARINGO.
Bunge la kaunti ya Baringo limeidhinisha uteuzi rasmi wa Felix kiplagat maiyo kama naibu gavana kaunti hiyo kama ilivyopendeleza kamati ya uteuzi ya bunge hilo. Kwenye kikao kilichoandaliwa mapema alhamisi […]
-
SERIKALI YAENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUKABILI KERO LA UKAME
Huku hali ya ukame ukiendelea kukithiri katika baadhi ya kaunti nchini serikali ya kaunti hii kupitia idara ya kilimo inaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba wakazi wanapata suluhu ya kudumu […]
-
URAIBU WA POMBE NA DAWA ZA KULEVYA WATISHIA MUSTAKABALI WA VIJANA MATHARE, POKOT MAGHARIBI.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia idara za usalama imetakiwa kuingilia kati na kukabili matumizi ya dawa za kulevya na pombe katika mtaa wa mathare viungani mwa mji […]
-
Mchezaji wa Arsenal alazwa hospitalini baada kudungwa kisu na mwendawazimu
•Mari alikuwa miongoni mwa watu sita ambao walishambuliwa kwa kisu na mwendawazimu mmoja kwenye jumba la maduka katika jiji la Milan jana jioni. •Arsenal ilituma ujumbe wake wa faraja kwa […]
Top News










