Author: Charles Adika
-
OCPD ANAYEONDOKA AMTAKA MRITHI WAKE KUENDELEZA USHIRIKIANO MWEMA POKOT YA KATI.
OCPD wa Sigor kaunti hii ya Pokot magharibi anayeondoka Bamford Surwa amemtaka anayechukua nafasi yake pamoja na maafisa wengine wa usalama eneo hilo kuendeleza ushirikiano mwema alioanzisha baina ya maafisa […]
-
UKOSEFU WA MADAKTARI MARICH WA WAFANYA WANANCHI KUTEMBEA MWENDO MREFU KUTAFTA HUDUMA
Wakazi wa eneo la Marich Sigor katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia huduma duni za afya kufuatia ukosefu wa madaktari katika kituo cha afya eneo hilo kwa takriban miaka […]
Top News







