Author: Charles Adika
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUJISAJILI KATIKA MAKUNDI ILI KUNUFAIKA NA ‘HUSTLER FUND’
Kama njia moja wepo ya kuinua makundi ya vijana na akina mama kaunti ya Pokot magharibi kupitia hazina ya serikali kuu ya serikali kuna haja ya wao kujiandikisha kwenye vikundi. […]
-
SERIKALI ZA KAUNTI ZATAKIWA KUTENGA BAJETI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA KALA AZAR.
Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi imetakiwa kutenga bajeti ya kushughulikia ugonjwa wa kala azar ili kukabili athari za ugonjwa huo ambao mara nyingi huripotiwa katika maneo kame nchini. […]
-
WADAU WATAKA MTAALA WA CBC KUAHIRISHWA HADI MIKAKATI THABITI IWEKEWE KUUTEKELEZA.
Jopo la kutathmini utekelezwaji wa mtaala mpya wa elimu CBC likisubiriwa kuandaa ripoti kuhusu vikao lilivyoandaa maeneo mbali mbali ya nchi kutafuta maoni kuhusu mtaala huo, baadhi ya wadau katika […]
-
WAKAZI WATAKA MAREKEBISHO KATIKA IDARA YA POLISI POKOT MAGHARIBI.
Wakazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu kisa ambapo mwanamke mmoja alipigwa risasi jumatatu na afisa wa polisi katika soko la Kacheliba katika kile ambacho kinadaiwa kuwa mzozo […]
Top News









