Author: Charles Adika
-
KACHAPIN ATAKA POLISI WANAOENDELEZA OPARESHENI MARICH KUONDOLEWA MARA MOJA.
Gavana wa kaunti hii ya pokot magharibi simon kachapin ameitaka idara ya polisi kuondoa vizuizi kwenye barabara kuu ya kapenguria kuelekea lodwar akidai vinatumika visivyo na polisi kuwanyanyasa wasafiri .Akizungumza […]
-
BUNGE LA POKOT MAGHARIBI LAAHIDI KUIWAJIBISHA SERIKALI BILA KUZINGATIA MIEGEMEO YA KISIASA.
Bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi litatumia fursa hii ambapo kuna umoja miongoni mwa wabunge katika bunge hilo kuhakikisha kwamba serikali iliyo mamlakani inawajibika inavyostahili kwa ajili ya wakazi.Haya […]
-
BAADHI YA WADAU WASHIKILIA MSIMAMO WA KUFUTILIWA MBALI MTAALA WA CBC.
Jopokazi la kuangazia utekelezwaji wa mtaala mpya wa elimu CBC linapoendeleza vikao vya kukusanya maoni kuhusu mtaala huo kutoka kwa wakenya maeneo mbali mbali ya nchi, wadau mbali mbali wameendelea […]
Top News









