Author: Charles Adika
-
BAADHI YA WADAU WASHIKILIA MSIMAMO WA KUFUTILIWA MBALI MTAALA WA CBC.
Jopokazi la kuangazia utekelezwaji wa mtaala mpya wa elimu CBC linapoendeleza vikao vya kukusanya maoni kuhusu mtaala huo kutoka kwa wakenya maeneo mbali mbali ya nchi, wadau mbali mbali wameendelea […]
-
GAVANA KACHAPIN ATISHIA KUFUNGULIA MASHITAKA SERIKALI YA UINGEREZA KUFUATIA MAUAJI YA KOLOWA.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amekariri msimamo wake wa kufungua kesi dhidi ya serikali ya uingereza kufuatia mauaji ya wafuasi wa dini ya mafuta pole yanayodaiwa […]
-
KOMONGIRO ATETEA BARAZA LA MAWAZIRI POKOT MAGHARIBI.
Mwakilishi wadi ya Sook katika kaunti hii ya Pokot magharibi Martine Komongiro ametetea uteuzi wa maafisa wanaohudumu katika serikali ya gavana Simon Kachapin kufuatia lalama za baadhi kuwa waliahidiwa nafasi […]
Top News









