Author: Charles Adika
-
WADAU WATAKA MTAALA WA CBC KUAHIRISHWA HADI MIKAKATI THABITI IWEKEWE KUUTEKELEZA.
Jopo la kutathmini utekelezwaji wa mtaala mpya wa elimu CBC likisubiriwa kuandaa ripoti kuhusu vikao lilivyoandaa maeneo mbali mbali ya nchi kutafuta maoni kuhusu mtaala huo, baadhi ya wadau katika […]
-
WAKAZI WATAKA MAREKEBISHO KATIKA IDARA YA POLISI POKOT MAGHARIBI.
Wakazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu kisa ambapo mwanamke mmoja alipigwa risasi jumatatu na afisa wa polisi katika soko la Kacheliba katika kile ambacho kinadaiwa kuwa mzozo […]
-
AFISA WA POLISI AMPIGA RISASI MWANAMKE MMOJA KACHELIBA KUFUATIA MZOZO WA KIMAPENZI.
Mwanammke moja kutoka soko la kacheliba kaunti ya Pokot Magharibi anauguza majeraha ya risasi tumboni baada ya kupigwa risasi na afisa mmoja wa polisi asubuhi ya jumatatu.Inadaiwa afisa anayejulikana kama […]
-
BAADHI YA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAPINGA MATUMIZI YA NPR KATIKA KUIMARISHA USALAMA.
Licha ya shinikizo za baadhi ya viongozi kutoka bonde la kerio kutaka uajiri wa maafisa zaidi wa NPR, mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto ameelezea […]
Top News









