Author: Charles Adika
-
UKOSEFU WA UMEME WATAJWA CHANGAMOTO KUU ENEO LA SIGOR POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa eneo la Tamkal wadi ya Weiwei eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia ukosefu wa nguvu za umeme licha ya kampuni ya kusambaza umeme KPLC […]
-
TAKWIMU ZAONYESHA ONGEZEKO LA KINA MAMA WANAOTUMIA MBINU ZA KISASA ZA UPANGAJI UZAZI POKOT MAGHARIBI.
Utafiti wa hivi punde unaashiria kuwa asilimia ya wanawake hasa walio kwenye ndoa na ambao wanatumia mbinu za kisasa za kupanga uzazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi imeongezeka mara […]
-
MIITO YA MSAADA WA CHAKULA POKOT MAGHARIBI YAENDELEA, IDADI YA WAATHIRIWA WA BAA LA NJAA IKIZIDI KUONGEZEKA.
Wahisani mbali mbali na mashirika ya kijamii yametakiwa kujitokeza na kuwasaidia wakazi wa maeneo mbali mbali ya kaunti hii ya Pokot magharibi ambao wanakabiliwa na baa la njaa kufuatia ukame […]
Top News









