Author: Charles Adika
-
UTAPIA MLO WATAJWA KUKITHIRI POKOT MAGHARIBI MASHIRIKA YA KIJAMII YAKICHANGIA JUHUDU ZA KUKABILI HALI HIYO.
Shirika la Action Agaisnt Hunger ACF limeikabidhi hospitali ya kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi dawa zitakazotumika kuwashughulikia watoto walioathirika na utapia mlo maeneo mbali mbali ya kaunti hiyo.Akizungumza wakati […]
-
KACHAPIN ATAKA POLISI WANAOENDELEZA OPARESHENI MARICH KUONDOLEWA MARA MOJA.
Gavana wa kaunti hii ya pokot magharibi simon kachapin ameitaka idara ya polisi kuondoa vizuizi kwenye barabara kuu ya kapenguria kuelekea lodwar akidai vinatumika visivyo na polisi kuwanyanyasa wasafiri .Akizungumza […]
-
BUNGE LA POKOT MAGHARIBI LAAHIDI KUIWAJIBISHA SERIKALI BILA KUZINGATIA MIEGEMEO YA KISIASA.
Bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi litatumia fursa hii ambapo kuna umoja miongoni mwa wabunge katika bunge hilo kuhakikisha kwamba serikali iliyo mamlakani inawajibika inavyostahili kwa ajili ya wakazi.Haya […]
Top News








