Author: Charles Adika
-
AFISA WA POLISI AMPIGA RISASI MWANAMKE MMOJA KACHELIBA KUFUATIA MZOZO WA KIMAPENZI.
Mwanammke moja kutoka soko la kacheliba kaunti ya Pokot Magharibi anauguza majeraha ya risasi tumboni baada ya kupigwa risasi na afisa mmoja wa polisi asubuhi ya jumatatu.Inadaiwa afisa anayejulikana kama […]
-
BAADHI YA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAPINGA MATUMIZI YA NPR KATIKA KUIMARISHA USALAMA.
Licha ya shinikizo za baadhi ya viongozi kutoka bonde la kerio kutaka uajiri wa maafisa zaidi wa NPR, mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto ameelezea […]
-
UKOSEFU WA UMEME WATAJWA CHANGAMOTO KUU ENEO LA SIGOR POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa eneo la Tamkal wadi ya Weiwei eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia ukosefu wa nguvu za umeme licha ya kampuni ya kusambaza umeme KPLC […]
-
TAKWIMU ZAONYESHA ONGEZEKO LA KINA MAMA WANAOTUMIA MBINU ZA KISASA ZA UPANGAJI UZAZI POKOT MAGHARIBI.
Utafiti wa hivi punde unaashiria kuwa asilimia ya wanawake hasa walio kwenye ndoa na ambao wanatumia mbinu za kisasa za kupanga uzazi katika kaunti hii ya Pokot magharibi imeongezeka mara […]
Top News









