Author: Charles Adika
-
SERIKALI YATAKIWA KUNUNUA MAHINDI NORTHRIFT NA KUWAPELEKEA WANAOKABILIWA NA MAKALI YA NJAA.
Kanisa la Kianglikana Diosisi ya Kitale kaunti ya Trans nzoia limetoa wito kwa serikali kuingilia kati kwa haraka na kusaidia kwa kuwapa chakula waathiriwa wa baa la njaa na kiangazi […]
-
VISA VYA MIMBA MIONGONI MWA WATAHINIWA WA KIKE VYAENDELEA KURIPOTIWA.
Jumla ya watahiniwa 87 walipachikwa mimba katika Kaunti ya Pokot Magharibi. Kulingana na wizara ya Elimu Kaunti ya Pokot Magharibi, darasa la nane linaongoza kwa idadi ya waliopachikwa mimba ikiwa […]
Top News








