Author: Charles Adika
-
WAKAZI WA AMUDAT WASHAURIWA KUTOHOFIA OPARESHENI YA KIUSALAMA INAYOENDESHWA ENEO HILO NA MAFISA WA POLISI.
Wakazi wa eneo la Amudat mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda wametakiwa kutokuwa na wasi wasi kufuatia oparesheni inayoendelea ya kuondoa silaha haramu katika mkoa […]
-
WAKUU WA SHULE WAPINGA MADAI YA KUHUSIKA UDANGANYIFU KATIKA MTIHANI WA KCSE MWAKA 2022.
Siku moja tu baada ya aliyekuwa seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio kutaka uchunguzi kufanyiwa matokeo ya mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE mwaka 2022 […]
Top News








