Author: Charles Adika
-
UTOVU WA USALAMA WASALIA KIZUNGUMKUTI CHESOGON, WAKAZI WAKIPAZA VILIO.
Wakazi wa Cheptulel eneo la Chesogon mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo Marakwet wamelalamikia kukithiri utovu wa usalama ambao unasababishwa na uvamizi wa mara kwa […]
-
SERIKALI ILIYOTANGULIA POKOT MAGHARIBI YASUTWA KWA ‘KUPORA’ MSAADA WA WAATHIRIWA WA MAPOROMOKO YA ARDHI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameisuta vikali serikali iliyotangulia ya aliyekuwa gavana John Lonyangapuo kuhusiana na jinsi ilivyoshughulikia waathiriwa wa maporomoko ya ardhi yaliyoshuhudiwa mwaka 2019.Akizungumza na […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUZINGATIA USHIRIKIANO NA KUEPUKA SIASA ZA KILA MARA.
Aliyekuwa mbunge wa Sigor katika kaunti hii ya Pokot Magharibi Philip Rotino ametoa wito kwa viongozi na wakazi wa kaunti hii kudumisha umoja.Akizungumza na kituo hiki Rotino amewataka viongozi waliochaguliwa […]
Top News







