Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WATAKIWA KUTOINGIZA SIASA KATIKA ZOEZI LA USAJILI WA WALIMU.
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Moroto amewataka viongozi wa kisiasa katika kaunti hii kutoingiza siasa katika shughuli ya usajili wa walimu ambayo inaendelea kote nchini.Moroto […]
-
BAADHI YA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATILIA SHAKA UHALALI WA MATOKEO YA MTIHANI WA KITAIFA KCSE.
Siku chache tu baada ya matokeo ya mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE kutangazwa rasmi aliyekuwa seneta wa kaunti hii ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametilia shaka matokeo […]
-
VIONGOZI KERIO VALLEY WALAUMU SERIKALI KWA KUSHUGHULIKIA UTOVU WA USALAMA KWA UPENDELEO.
Umiliki wa bunduki miongoni mwa baadhi ya wakazi katika bonde la kerio ndicho kikwazo kikubwa katika juhudi za kumaliza uhalifu ambao unaendelea kushuhudiwa eneo hili. Haya ni kwa kujibu wa […]
-
MWANAFUNZI AOKOLEWA KUTOKANA NA NDOA YA MAPEMA KACHELIBA.
Mwanafunzi mmoja aliyefanya mtihani wa darasa la nane KCPE mwaka jana anahifadhiwa katika kituo cha polisi cha Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya kutorokea usalama katika kituo hicho […]
Top News









