Author: Charles Adika
-
WADAU WA ELIMU WAANDAA KIKAO CHA KUTATUA MZOZO UNAOKUMBA SHULE YA KAMOTING POKOT MAGHARIBI.
Mkurugenzi wa elimu kaunti ndogo ya Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi Amos Kibet amewalaumu wazazi wa shule ya msingi ya Kamoting kuhusiana na jinsi ambavyo wameshughulikia lalama ambazo wamekuwa […]
-
WAKULIMA WALALAMIKIA KUJIKOKOTA SHUGHULI YA KUSAMBAZA MBOLEA KATIKA MAGHALA YA NCPB.
Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wametaka kuharakishwa shughuli ya kutoa mbolea inayoendelea katika maghala ya NCPB. Wakiongozwa na Harison Loyatum wakulima hao walisema kwamba mbolea ni kidogo mno katika […]
-
MZOZO KATI YA WAZAZI NA UONGOZI WA SHULE YA KAMOTINY POKOT MAGHARIBI WAZIDI KUKOLEA.
Wazazi wa shule ya msingi ya Kamotiny kaunti ya Pokot magharibi wamesuta uongozi wa shule hiyo kutokana na jinsi ambavyo unaendesha shughuli mbali mbali hali ambayo inasemekana kuchangia mzozo baina […]
-
Top News








