Author: Charles Adika
-
WADAU WATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILI MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA MIONGONI MWA VIJANA KACHELIBA.
Ipo haja kwa wadau mbali mbali kaunti ya Pokot magharibi kujitokeza na kubuni mikakati ya kukabiliana na matumizi ya mihadarati miongoni mwa vijana. Ni wito wake askofu wa kanisa la […]
-
RAILA ASUTWA VIKALI KWA KUWA ‘KISIRANI’ KWA SERIKALI ZA HAPA NCHINI.
Viongozi wanaoegemea mrengo wa Kenya kwanza wameendelea kumsuta kinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya Raila Odinga kwa kuendeleza maandamano dhidi ya serikali ya rais William […]
-
-
SERIKALI YATAKIWA KUKOMA KUWAHANGAISHA WAFANYIBIASHARA POKOT MAGHARIBI.
Chama cha wafanyibiashara chamber of commerce kaunti ya Pokot magharibi kimetoa wito kwa serikali ya kaunti kushirikiana vyema na wafanyibiashara na kutowadhulumu katika shughuli zao za kila siku. Mwenyekiti wa […]
-
UKAME UNAOSHUHUDIWA POKOT KASKAZINI WATAJWA KUWA CHANZO CHA NDOA ZA MAPEMA.
Swala la ndoa za mapema na ukeketaji miongoni mwa watoto wa kike limesalia kuwa changamoto kuu kwa elimu ya mtoto wa kike katika kaunti ya Pokot magharibi eneo la pokot […]
Top News








