Author: Charles Adika
-
WAKAZI WA MOSESWO, KANGILKWAN WAKADIRIA HASARA YA MIFUGO KUFUATIA MKURUPUKO WA UGONJWA USIOJULIKANA.
Wakazi wa kijiji cha Moseswo, kangilkwan wadi ya mnagei eneo bunge la Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito kwa maafisa wa idara ya mifugo kufika eneo hilo kubaini […]
-
GAVANA KACHAPIN ATETEA TEUZI ZA RAIS RUTO ZA MAKATIBU WAKUU WA UTAWALA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametofautiana na viongozi ambao wanamkosoa rais William Ruto kufuatia uteuzi wa makatibu wa utawala kwa madai ya kuongeza mzigo kwa mlipa ushuru […]
Top News







