Author: Charles Adika
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WASUTA WIZARA YA USALAMA JINSI INAVYOSHUGHULIKIA UTOVU WA USALAMA ENEO HILO.
Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert komole ameendelea kusisitiza haja ya serikali kupitia idara ya usalama kuangazia njia mbadala ya kukabiliana na utovu wa usalama eneo la bonde la […]
-
-
WIZARA YA USALAMA YATAKIWA KUBADILI MBINU YA KUWAKABILI WEZI WA MIFUGO BONDE LA KERIO.
Pana haja ya serikali kuu kupitia wizara ya usalama wa ndani kubadilisha mbinu ya kuwakabili wezi wa mifugo ambao licha ya oparesheni inayoendelea kwenye kaunti sita za bonde la ufa […]
-
WATU WATANO WAUA KATIKA SHUMBULIO LA HIVI PUNDE KIJIJI CHA LAMI NYEUSI POKOT MAGHARIBI.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu vikali mauaji ya watu watano eneo la lami nyeusi mpakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana na ambayo yanaaminika kutekelezwa na […]
-
MSAKO DHIDI YA WANAOMILIKI BUNDUKI WAENDELEZWA UGANDA, WATU 26 KUTOKA JAMII YA POKOT WAKIZUILIWA NA POLISI.
Takriban watu 26 kutoka jamii ya pokot wanaoishi nchini Uganda wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Nakapirpirit kwa tuhuma za uvamizi kwa kutumia bunduki. Msako dhidi ya wanaomiliki bunduki unaoendelezwa […]
Top News







