Author: Charles Adika
-
OPARESHENI YA KIUSALAMA KASKAZINI MWA BONDE LA UFA YAENDELEA KUKOSOLEWA NA WADAU MAENEO HAYO.
Wanaharakati kaunti ya Pokot magharibi wamekosoa oparesheni ya kiusalama inayoendelezwa na maafisa wa polisi kwa ushirikiano na wale wa jeshi mipakani pa kaunti hiyo, kuwakabili wezi wa mifugo ambao wamekuwa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUIMARISHA MAZINGIRA YA WAFANYIBIASHARA.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia idara ya biashara, viwanda, mashirika na kawi imeratibu miradi mbali mbali ambayo inanuiwa kuwanufaisha wakazi hasa wafanyibiashara katika juhudi za kupiga jeki shughuli […]
-
MAUAJI LAMI NYEUSI YAENDELEA KUSUTWA NA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu mauaji ya watu watano eneo la Lami nyeusi mpakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana ambapo pia mbuzi 18 waliibwa na […]
Top News








