Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAAHIDI KUIMARISHA MIUNDO MSINGI KATIKA SHULE ZOTE ZA MSINGI NA UPILI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema kwamba serikali yake imetenga shilingi milioni 20 zitakazotumika kwa ajili ya ujenzi wa miundo msingi kwenye shule za msingi na upili. […]
-
-
MASHAMBULIZI YA WEZI WA MIFUGO YASALIA MWIBA BONDE LA KERIO LICHA YA OPARESHENI YA POLISI.
Mbunge wa Baringo kusini Charles Kamuren anaitaka serikali kuimarisha mikakati yake ya kukabiliana na washukiwa wa wizi wa mifugo wanaoendeleza uvamizi kila mara kwenye kaunti za bonde la kerio. Kulingana […]
-
MAANDAMANO YA MRENGO WA AZIMIO YATAJWA KUWA UCHOCHEZI DHIDI YA SERIKALI YA RAIS RUTO.
Viongozi mbali mbali wanaoegemea mrengo wa Kenya kwanza wameendelea kukosoa maswala ambayo yanashinikizwa na kinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya Raila Odinga na vinara wenza […]
Top News









