Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WATAJA MBINU MBOVU ZINAZOTUMIKA KUKABILI UTOVU WA USALAMA KASKAZINI MWA BONDE LA UFA KUWA CHANZO CHA KUKITHIRI TATIZO HILO.
Serikali inapasa kuhakikisha kwamba miradi ya maendeleo inaanzishwa katika kaunti za kaskazini mwa bonde la ufa ambazo zinakabiliwa na utovu wa usalama unaosababishwa pakubwa na wezi wa mifugo. Haya ni […]
-
KACHAPIN: NITAHAKIKISHA VIWANDA VYOTE VINAVYOJENGWA KAUNTI HII VINAFUNGULIWA MWAKA HUU.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi simon Kachapin amewahakikishia wakazi wa kaunti hii kwamba atahakikisha viwanda vyote ambavyo vinajengwa ikiwemo kile cha saruji eneo la Sebit pamoja na cha bidhaa […]
-
WAKAZI POKOT MAGARIBI WAKANYWA DHIDI YA KUWAZIA KUJIUNGA NA MAANDAMANO YA AZIMIO.
Mbunge wa Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto amewataka wakazi wa kaunti hiyo kutojihusisha na maandamano ambayo yanaendelezwa maeneo mbali mbali ya nchi na vinara wa chama cha muungano […]
Top News







