Author: Charles Adika
-
MSAKO DHIDI YA WANAOMILIKI BUNDUKI WAENDELEZWA UGANDA, WATU 26 KUTOKA JAMII YA POKOT WAKIZUILIWA NA POLISI.
Takriban watu 26 kutoka jamii ya pokot wanaoishi nchini Uganda wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Nakapirpirit kwa tuhuma za uvamizi kwa kutumia bunduki. Msako dhidi ya wanaomiliki bunduki unaoendelezwa […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA WA WALIMU MAENEO YANAYOSHUHUDIA UVAMIZI.
Viongozi mbali mbali katika kaunti ya Pokot magharibi wamelaani vikali kisa ambapo mwalimu wa shule ya upili ya Turkwel alivamiwa na majangili na kujeruhiwa vibaya mpakani pa kaunti ya Pokot […]
-
WAKULIMA POKOT MAGHARIBI WAENDELEA KUIMARIKA CHINI YA MRADI WA KENYA CLIMATE SMART.
Mradi wa Kenya climate smart umeendeleza harakati za kuyawezesha makundi mbali mbali ya wakulima kaunti ya Pokot magharibi kuimarisha kilimo chao hasa kinachohusu ufugaji na kilimo cha mimea. Msirikishi wa […]
-
KIMACHAS: TUTAFANYA KILA JUHUDI KUHAKIKISHA MTAALA WA CBC UNAFAULU.
Serikali inaendelea kuweka mikakati ya kutosha kuhakikisha kwamba mtaala mpya wa elimu CBC unafanikiwa. Akizungumza afisini mwake Mkurugenzi wa tume ya huduma kwa walimu TSC kaunti ya Pokot magharibi Benard […]
Top News









