Author: Charles Adika
-
MADEREVA WASHUTUMU KAZI DUNI ILIYOTEKELEZWA KWENYE BARABARA YA KAPENGURIA –KACHELIBA.
Wahudumu wa magari kwenye barabara ya Kapenguria –Kacheliba hasa kutoka eneo la Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu kile wamesema kwamba kazi duni iliyofanywa na mwanakandarasi aliyejenga barabara hiyo. Wakiongozwa […]
-
FAMILIA MOJA KACHELIBA NUSRA ITUMIE MBOLEA KAMA CHAKULA KUFUATIA MAKALI YA NJAA.
Serikali ikiendelea kupeana mbolea ya bei nafuu kwa wakulima maeneo mbali mbali ya nchi, familia moja eneo la Riwo eneo bunge la kacheliba kaunti ya Pokot magharibi nusra ile mbolea […]
-
MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI YAOMBWA KUWASAIDIA WAATHIRIWA WA MAFURIKO ORTUM.
Mbunge wa Pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi David Pkosing ametoa wito kwa mashirika mbali mbali yasiyo ya serikali kuingilia kati na kuwasaidia wakazi ambao walipoteza mali yao kufuatia […]
Top News







