Author: Charles Adika
-
SERIKALI YALAUMIWA KWA KUENDESHA OPARESHENI YA KIUSALAMA KWA MAPENDELEO KASKAZINI MWA BONDE LA UFA.
Mbunge wa Pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi David Pkosing ameilaumu serikali kwa kile amedai kwamba imeruhusu wakazi katika kaunti jirani kumiliki silaha kinyume cha sheria baada ya wakazi […]
-
VIONGOZI WASHUTUMU MASHAMBULIZI AMBAYO YAMEENDELEA KURIPOTIWA LICHA YA OPARESHENI INAYOENDELEA BONDE LA KERIO.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu vikali mashambulizi ambayo yameendelea kuripotiwa katika kaunti za bonde la kerio licha ya oparesheni ya kiusalama ambayo inaendelea katika kaunti sita za kaskazini […]
-
MWANAFUNZI WA NASOKOL AIBUKA WA PILI KITAIFA KATIKA UANDISHI WA INSHA KWENYE ZOEZI LA SPELLING BEE.
Mwanafunzi wa shule ya msingi ya Nasokol katika kaunti ya Pokot magharibi ameibuka wa pili nchini katika zoezi la uandishi wa insha maarufu spelling bee ambalo lilifadhiliwa na kampuni ya […]
-
WADAU WA ELIMU WAANDAA KIKAO CHA KUTATUA MZOZO UNAOKUMBA SHULE YA KAMOTING POKOT MAGHARIBI.
Mkurugenzi wa elimu kaunti ndogo ya Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi Amos Kibet amewalaumu wazazi wa shule ya msingi ya Kamoting kuhusiana na jinsi ambavyo wameshughulikia lalama ambazo wamekuwa […]
Top News






