Author: Charles Adika
-
HOSPITALI YA KACHELIBA YAKABIDHIWA MTAMBO WA JENERETA KUKABILI TATIZO LA NGUVU ZA UMEME.
Wakazi wa eneo la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamepata afueni baada ya serikali ya kaunti kupitia idara ya afya kuikabidhi hospitali ya Kacheliba mtambo wa jenereta ambao utatumika […]
-
WAFANYIBIASHARA MJINI MAKUTANO POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUKITHIRI WIZI.
Wafanyibiashara mjini makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa waangalifu hasa msimu huu ambapo visa vya wizi vimetajwa kukithiri.Hii ni baada ya wasichana wawili kunaswa hiyo jana wakijaribu […]
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WAENDELEA KULAANI MAUAJI YA WANAFUNZI WAWILI KAUNTI YA ELGEYO MARAKWET.
Siku kadhaa baada ya majangili waliojihami kwa bunduki kuwauwa kwa risasi wanafunzi wawili katika kaunti ya Elgeiyo marakwet, mbunge wa Tiaty katika kaunti ya Baringo William Kamket ameongoza mkutano wa […]
-
SHINIKIZO ZAENDELEA KUTOLEWA KUBUNI MUUNGANO MMOJA WA WANAFUNZI WA VYUO NA WALE WA VYUO VIKUU POKOT MAGHARIBI.
Ipo haja kwa wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu katika kaunti hii ya Pokot magharibi kuungana na kubuni muungano mmoja.Haya ni kwa mujibu wa aliyekuwa naibu mwenyekiti wa muungano wa […]
Top News