Author: Charles Adika
-
-
SERIKALI YATAKIWA KUKOMA KUWAHANGAISHA WAFANYIBIASHARA POKOT MAGHARIBI.
Chama cha wafanyibiashara chamber of commerce kaunti ya Pokot magharibi kimetoa wito kwa serikali ya kaunti kushirikiana vyema na wafanyibiashara na kutowadhulumu katika shughuli zao za kila siku. Mwenyekiti wa […]
-
UKAME UNAOSHUHUDIWA POKOT KASKAZINI WATAJWA KUWA CHANZO CHA NDOA ZA MAPEMA.
Swala la ndoa za mapema na ukeketaji miongoni mwa watoto wa kike limesalia kuwa changamoto kuu kwa elimu ya mtoto wa kike katika kaunti ya Pokot magharibi eneo la pokot […]
-
AFISA WA JESHI MUSTAAFU ATAKA MBINU YA KUWAKABILI MAJANGILI KUBADILISHWA.
Wadau mbali mbali katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kukosoa mbinu ambayo inatumika na serikali kukabili utovu wa usalama ambao umekuwa ukishuhudiwa hasa katika kaunti 6 za kaskazini mwa bonde […]
Top News








