Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAWAHAKIKISHIA WAZAZI MIPANGO YA KUTOA FEDHA ZA BASARI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amewahakikishia wazazi katika kaunti hiyo kwamba serikali yake inaendeleza mikakati ya kuhakikisha wanafunzi wanapata fedha za basari kufanikisha masomo yao. Akizungumza baada […]
-
TSC YATANGAZA KUANZA SHUGHULI YA KUWAAJIRI WALIMU ZAIDI POKOT MAGHARIBI WAKAZI WAKIONYWA DHIDI YA MATAPELI.
Tume ya huduma kwa walimu TSC kaunti ya Pokot magharibi imesema kwamba inanuia kuwaajiri walimu zaidi ili kushughulikia changamoto ya uhaba wa walimu katika shule za kaunti hiyo pamoja na […]
-
HALI YA KIANGAZI YAENDELEA KUWATIA HOFU WAKULIMA WA MIFUGO POKOT KUSINI.
Hali ya kiangazi ikizidi kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali nchini, Wakulima wa mifugo hasa ngombe kutoka eneo la Sepuser wadi ya Chepareria eneo bunge la pokot kusini kaunti ya Pokot Magharibi […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA KUTOWAKILISHWA VYEMA KATIKA SERIKALI YA KENYA KWANZA.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wametoa wito kwa rais William Ruto kuhakikisha kwamba kaunti hii inawakilishwa vyema katika serikali yake. Wakiongozwa na Joseph Limasia mkazi wa eneo la […]
Top News