Author: Charles Adika
-
RIPOTI YA GIZ YABAINISHA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAFUGAJI POKOT MAGHARIBI.
Wakulima hasa wafugaji katika kaunti ya Pokot Magharibi wametakiwa kutunza vyema mazingira na kutumia misimu ya mvua kupanda nyasi ya kutosha na aina fulani ya miti ambayo hutumika kama chakula […]
-
JAMII YA NAIBU CHIFU ALIYEJINYONGA KISHAUNET YATAKA UCHUNGUZI WA KINA KUHUSIANA NA KISA HICHO.
Jamii ya naibu chifu wa Kishaunet katika kaunti ya Pokot magharibi aliyefariki kwa kujinyonga Benson Sialuk sasa inataka uchunguzi kuendeshwa kubaini kilichosababisha kifo cha naibu chifu huyo.Wakiongozwa na mamake mwenda […]
-
WAFANYIKAZI WA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WANAOHUDUMU KWA KANDARASI WALALAMIKIA KUFUTWA KAZI.
Baadhi ya wafanyikazi katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kile wamedai kufutwa kazi na serikali ya kaunti kupitia bodi ya huduma kwa umma wakihusisha hali hiyo na njama za kisiasa.Wafanyikazi […]
-
MZOZO WA UONGOZI KANISANI WAPELEKEA MAAFA NASOKOL.
Naibu chifu wa Kishaunet katika kaunti ya Pokot magharibi Benson Sialuk ameripotiwa kuaga dunia siku moja tu baada ya kuibuka ripoti za kupotea kwake hali inayohusishwa na mzozo wa uongozi […]
Top News