Author: Charles Adika
-
DORIA YA KIUSALAMA YAIMARISHWA CHESOGON BAADA YA KUUAWA WATU WAWILI.
Doria imeimarishwa eneo la Chesogon mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet ili kuimarishwa usalama eneo hilo kufuatia mauaji ya watu wawili na mwingine mmoja […]
-
WADAU POKOT MAGHARIBI WAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA ATHARI ZA UKAME.
Mashirika mbali mbali ya kijamii kaunti hii ya Pokot magharibi yanashirikiana na serikali ya kaunti katika kubuni mikakati ya kukabili athari ambazo huenda zikasababishwa na ukame ambao unashuhudiwa kufuatia ripoti […]
-
TSC YATAKIWA KUTOA KIPAU MBELE KWA WAKAZI KATIKA SHUGHULI YA USAJILI WA WALIMU POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa eneo la Kacheliba katika kaunti hii ya Pokot magharibi hasa wanaotafuta nafasi za ajira katika zoezi linaloendelea la kuwaajiri walimu nchini wamelalamikia idadi kubwa ya watu wanaofika eneo […]
-
WIZARA YA AFYA YAONDOA HOFU YA UWEPO WA UGONJWA WA KIPINDUPINDU POKOT MAGHARIBI.
Wizara ya afya katika kaunti hii ya Pokot magharibi imeondoa wasi wasi wa uwezekano wa kuzuka ugonjwa wa kipindu pindu katika kaunti hii baada ya kuibuka madai kuwa mgonjwa mmoja […]
Top News