Author: Charles Adika
-
UBALOZI WA UHOLANZI WAIMARISHA MIKAKATI YA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Balozi wa uholanzi nchini Maarten Brouwer amefanya kikao na gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin kuangazia jinsi ambavyo serikali ya kaunti hiyo itashirikiana na taifa hilo katika maswala […]
-
PKOSING ASUTWA VIKALI KWA KUENDELEZA SHINIKIZO LA KUMBANDUA RAIS MAMLAKANI.
Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuunga mkono kikamilifu uongozi wa rais William Ruto na kupuuza miito ya viongozi wa upinzani kuhusu kuandaliwa maandamano na kukusanya saini za kumbandua […]
-
-
VIONGOZI WA KENYA KWANZA WAKASHIFU MAANDAMANO YA MRENGO WA AZIMIO.
Viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi wanaoegemea mrengo wa Kenya kwanza wameshutumu vikali maandamano yaliyoendeshwa na mrengo wa azimio katika kuadhimisha siku ya sabasaba ijumaa iliyopita kuishinikiza serikali kupunguza gharama […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIPA KIPAU MBELE KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KATIKA USAJILI WA WALIMU.
Serikali imetakiwa kuwekeza zaidi katika elimu kaunti ya Pokot magharibi ili kuiwezesha kufikia viwango vya kaunti zingine nchini ikizingatiwa ilisalia nyuma zaidi kwa kipindi kirefu. Wakiongozwa na mwenyekiti wa bodi […]
Top News









