Author: Charles Adika
-
-
UHABA WA LISHE NA MAJI KWA MIFUGO WATAJWA KUWA CHANZO CHA UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Mizozo mingi ambayo imekuwa ikishuhudiwa maeneo ya mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani za Elgeyo marakwet na Turkana na kupelekea hali ya utovu wa usalama inatokana […]
-
KIWANDA CHA SIMITI CHA SEBIT CHAAHIDI KUTENGA ASILIMIA 80 YA NAFASI ZA AJIRA KWA WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amempongeza mwekezaji ambaye anaendeleza ujenzi wa kiwanda cha simiti eneo la Sebit eneo bunge la Pokot kusini anachosema kitakuwa cha manufaa makubwa […]
-
MFUMO UNAOTUMIKA KUSAMBAZA FEDHA ZA INUA JAMII WATAJWA KUWA DHALIMU KWA WAZEE.
Serikali imetakiwa kubadili mfumo ambao unatumika kutoa pesa za inua jamii kwa makundi lengwa ikiwemo ya wazee, walemavu na mayatima nchini. Ni wito ambao umetolewa na wakazi wa kaunti ya […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA SHUGHULI YA KUWAPA WAKULIMA MBUZI AINA YA GALA KUIMARISHA SHUGHULI ZA KILIMO CHA UFUGAJI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeendeleza mikakati ya kuimarisha kilimo cha ufugaji kwa wakazi wa kaunti hiyo katika juhudi za kuimarisha mapato miongoni mwa wakazi kupitia shughuli za kilimo. […]
Top News








