Author: Charles Adika
-
LONYANGAPUO: SULUHU KWA TATIZO LA NJAA KAUNTI HII NI KWA KILA MMOJA KWENDA SHAMBANI.
Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo ameelezea haja ya kuwekeza pakubwa katika kilimo ili kukabili tatizo la njaa ambalo limekuwa kizungumkuti kila wakati wa kiangazi katika kaunti […]
-
WAATHIRIWA WA MAFURIKO MUINO WALALAMIKIA KUTELEKEZWA NA SERIKALI
Waathiriwa wa mafuriko ya mwaka 2019 eneo la Muino Pokot ya kati kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kutelekezwa na serikali licha ya hasara na madhara waliyopata kufuatia hali hiyo. Wakiongozwa […]
-
WAKULIMA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUJIUNGA KWENYE MAKUNDI ILI KUNUFAIKA NA HUDUMA MBALI MBALI.
Meneja wa shirika la E for Impact moja ya mashirika ambayo yanaendeleza miradi mbali mbali ya kuwawezesha wakulima kaunti ya Pokot magharibi Banadet Mutinda ametoa wito kwa wakulima katika kaunti […]
Top News









