Author: Charles Adika
-
MACHIFU WALAUMIWA KWA KUTUMIA NGUVU KUPITA KIASI KUKABILI UGEMAJI WA POMBE HARAMU POKOT MAGHARIBI.
Familia moja eneo la Kambi chafu katika kaunti ya Pokot magharibi inalilia haki kufuatia kisa cha kujeruhiwa mama yao baada ya kudaiwa kuvamiwa na chifu wa eneo hilo. Wakiongozwa na […]
-
-
WADAU WASHINIKIZA KUFUNZWA LUGHA ZA MAMA SHULENI.
Wadau katika sekta ya elimu kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia mafunzo ya lugha ya mama shuleni. Ni wito wake mwanzilishi wa shule ya the Cranes Esther Serem ambaye alisema […]
-
GHARAMA YA MAISHA YAENDELEA KUKEKETA MAINI YA WAKENYA MAENEO MBALI MBALI.
Baadhi ya wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi wamelalamikia uongozi wa rais William Ruto wanaosema kwamba umepelekea kupanda maradufu gharama ya maisha nchini tangu alipoingia uongozini. Wakizungumza baada ya […]
-
TSC YAKIRI KUWEPO UPUNGUFU MKUBWA WA WALIMU KATIKA SHULE ZA MASHINANI POKOT MAGHARIBI.
Shule za maeneo ya mashinani kaunti ya Pokot magharibi zinakabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu kutokana na hatua ya serikali kusitisha utekelezwaji wa sera ya kuwataka walimu kufunza mbali na […]
Top News








