Author: Charles Adika
-
USALAMA WAIMARISHWA KWENYE MISITU YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KUZUIA UKATAJI MITI HARAMU BAADA YA RAIS KUONDOA MARUFUKU.
Idara ya misitu katika kaunti ya Pokot magharibi imeweka mikakati ya kuhakikisha kwamba hamna ukataji miti ulio kinyume cha sheria baada ya rais William Ruto kuondoa marufuku iliyowekwa dhidi ya […]
-
CHAKULA CHA MSAADA KILICHOPOTEA KANYARKWAT CHAPATIKANA.
Siku chache tu baada ya baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi kulalamikia kupotea kwa chakula cha msaada eneo la Kanyarkwat na mnagei, chakula hicho sasa kinadaiwa kupatikana. Akizungumza […]
-
UCHUNGUZI WAENDELEZWA KUHUSIANA NA KUPOTEA CHAKULA CHA MSAADA ENEO LA KANYARKWAT.
Baadhi ya viongozi eneo bunge la Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu kupotea kwa chakula cha msaada ambacho kilitolewa na serikali kwa ajili ya wakazi wanaokabiliwa na makali ya njaa […]
Top News








