Author: Charles Adika
-
MAANDAMANO YA AZIMIO YATAJWA KUWA TISHIO KWA OPARESHENI YA KIUSALAMA KASKAZINI MWA BONDE LA UFA.
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea hofu kwamba huenda maandamano ambayo yanaendelezwa na chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya maeneo mbali mbali ya […]
-
KACHAPIN ASIFIA MFUMO WA UGATUZI KUWA CHANZO CHA MAENDELEO MASHINANI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza pakubwa mfumo wa ugatuzi akisema kwamba umepelekea kuafikiwa maendeleo makubwa maeneo ya mashinani ikilinganishwa na ilivyokuwa awali ambapo serikali ya kitaifa […]
-
OCS WA KONGELAI ASUTWA KWA KUWA KIKWAZO KATIKA JUHUDI ZA KUHAKIKISHA USALAMA WA WAKAZI.
Mzee wa kijiji cha Simotwo eneo la Kongelai kaunti ya Pokot magharibi Johnson Lodepa ameelezea wasi wasi kuhusiana na usalama wa eneo hilo kutokana na kuwepo kundi la vijana ambao […]
Top News








