Author: Charles Adika
-
RAILA ATAKIWA KUSTAAFU SIASANI NA KUKOMA KUWA TATIZO KWA UONGOZI WA TAIFA.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kumshutumu kinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya Raila Odinga kwa kile wamedai kwamba ameendelea kuwa tatizo kwa serikali kwa […]
-
VIJANA WATAKIWA KUWA MSITARI WA MBELE KATIKA KUDUMISHA AMANI KASKAZINI MWA BONDE LA UFA.
Wito umetolewa kwa vijana katika kaunti 6 za kaskazini mwa bonde la ufa ikiwemo kaunti ya Pokot magharibi kujitokeza na kuwa msitari wa mbele katika kuhakikisha kwamba amani inadumishwa katika […]
-
-
LOCHAKAPONG AAHIDI KUIMARISHA HALI YA WADI YA MASOL ENEO BUNGE LA SIGOR.
Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong ameahidi kuhakikisha kwamba anaimarisha hali katika wadi ya Masol eneo bunge hilo ambayo ametaja kuwa moja ya maeneo ambayo yametengwa kwa […]
-
KACHAPIN ASUTA UONGOZI WA LONYANGAPUO KWA KUTEKELEKEZA MIRADI ALIYOANZISHA KATIKA AWAMU YAKE YA KWANZA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kusuta uongozi wa aliyekuwa gavana John Lonyangapuo kwa kile amesema kutekeleza miradi ambayo alianzisha katika awamu yake ya kwanza ya uongozi. […]
-
Top News







