Author: Charles Adika
-
POLISI WALAUMIWA KWA KUWASABABISHIA HASARA WAKAZI WAKATI WA KUENDESHA OPARESHENI YA KIUSALAMA POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya wakazi wa kaunti ya Pokot wameshutumu jinsi ambavyo oparesheni ya kukabili wezi wa mifugo mipakani pa kaunti hiyo inaendelezwa.Aliyekuwa kwa wakati mmoja mbunge wa Sigor Christopher Lomada alidai […]
-
HATUA YA KUBUNIWA KAMATI ITAKAYOONGOZA MAZUNGUMZO BAINA YA SERIKALI NA UPINZANI YAPOKEA PINGAMIZI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wametofautiana vikali na hatua ya kubuniwa kamati ya wanachama kumi itakayoongoza mazungumzo baina ya serikali ya Kenya kwanza na upinzani chini ya […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT MAGHARIBI YAELEZEA MAFANIKIO DHIDI YA WEZI WA MIFUGO.
Idara ya usalama katika kaunti ya Pokot magharibi imewahakikishia wakazi kwamba usalama umeimarishwa hasa maeneo ya mipakani ambako kumekuwa kukishuhudiwa utovu wa usalama unaosababishwa na wezi wa mifugo. Akizungumza afisini […]
Top News








