Author: Charles Adika
-
MASTALUK: NITAWEKA NGUVU ZANGU ZOTE KWENYE SEKTA YA ELIMU KATIKA HIMAYA YANGU.
Mwakilishi wadi ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Richard Mastaluk amesema kwamba atawekeza kikamilifu katika swala la elimu ili kuhakikisha kwamba sekta ya elimu inaimarishwa katika wadi hiyo. Mastaluk alisema […]
-
MOROTO ATAKA SERIKALI YA KENYA KWANZA KUPEWA MUDA WA KUREKEBISHA MAKOSA YALIYOSABABISHWA NA SERIKALI ILIYOTANGULIA.
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto ametofautiana na ripoti za hivi karibuni kwamba taifa haliekei kwenye mkondo bora. Akizungumza na wanahabari, Moroto alisema kwamba rais William […]
-
POLISI WALAUMIWA KWA KUWASABABISHIA HASARA WAKAZI WAKATI WA KUENDESHA OPARESHENI YA KIUSALAMA POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya wakazi wa kaunti ya Pokot wameshutumu jinsi ambavyo oparesheni ya kukabili wezi wa mifugo mipakani pa kaunti hiyo inaendelezwa.Aliyekuwa kwa wakati mmoja mbunge wa Sigor Christopher Lomada alidai […]
Top News








