Author: Charles Adika
-
HATUA YA KUBUNIWA KAMATI ITAKAYOONGOZA MAZUNGUMZO BAINA YA SERIKALI NA UPINZANI YAPOKEA PINGAMIZI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wametofautiana vikali na hatua ya kubuniwa kamati ya wanachama kumi itakayoongoza mazungumzo baina ya serikali ya Kenya kwanza na upinzani chini ya […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT MAGHARIBI YAELEZEA MAFANIKIO DHIDI YA WEZI WA MIFUGO.
Idara ya usalama katika kaunti ya Pokot magharibi imewahakikishia wakazi kwamba usalama umeimarishwa hasa maeneo ya mipakani ambako kumekuwa kukishuhudiwa utovu wa usalama unaosababishwa na wezi wa mifugo. Akizungumza afisini […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALAANI MAUAJI YA MTU MMOJA OMBOLION.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kukashifu uvamizi wa hivi punde ambao umeshuhudiwa mipakani pa kaunti hii na kaunti jirani ya Turkana ambapo mtu mmoja aliuliwa na wahalifu eneo […]
-
KACHAPIN: MAPENDEKEZO YA JOPO LA KUANGAZIA MAGEUZI YA ELIMU YATAIMARISHA SEKTA YA ELIMU NCHINI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza mapendekezo ya jopo lililobuniwa na rais William Ruto kuangazia mageuzi katika sekta ya elimu nchini chini ya uwenyekiti wa Prof. Raphael […]
Top News









