Author: Charles Adika
-
BUNGE LA POKOT MAGHARIBI LAREJELEA VIKAO BAADA YA KUSITISHWA KWA MUDA KULALAMIKIA MISHAHARA.
Bunge la kaunti ya Pokot magharibi limerejelea rasmi vikao vyake baada ya kusitisha vikao hivyo kwa muda, wabunge katika bunge hilo wakilalamikia maswala mbali mbali ambayo wanashinikiza serikali kutekeleza ikiwemo […]
-
MTU MMOJA AUAWA KATIKA SHAMBULIZI LA HIVI PUNDE MPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Taharuki imeendelea kutanda katika mpaka wa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana baada ya mtu mmoja kuuliwa kwa risasi eneo la Ombolion na watu wanaoaminika kuwa wavamizi […]
-
USALAMA WAIMARISHWA KWENYE MISITU YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KUZUIA UKATAJI MITI HARAMU BAADA YA RAIS KUONDOA MARUFUKU.
Idara ya misitu katika kaunti ya Pokot magharibi imeweka mikakati ya kuhakikisha kwamba hamna ukataji miti ulio kinyume cha sheria baada ya rais William Ruto kuondoa marufuku iliyowekwa dhidi ya […]
Top News







