Author: Charles Adika
-
CHAKULA CHA MSAADA KILICHOPOTEA KANYARKWAT CHAPATIKANA.
Siku chache tu baada ya baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi kulalamikia kupotea kwa chakula cha msaada eneo la Kanyarkwat na mnagei, chakula hicho sasa kinadaiwa kupatikana. Akizungumza […]
-
UCHUNGUZI WAENDELEZWA KUHUSIANA NA KUPOTEA CHAKULA CHA MSAADA ENEO LA KANYARKWAT.
Baadhi ya viongozi eneo bunge la Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu kupotea kwa chakula cha msaada ambacho kilitolewa na serikali kwa ajili ya wakazi wanaokabiliwa na makali ya njaa […]
-
JAMII YAHIMIZWA KUJITENGA NA TAMADUNI YA UKEKETAJI POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kujitenga na tamaduni ya kuwakeketa pamoja na kuwaoza mapema wanao wa kike na badala yake kuwapa nafasi ya kuendeleza elimu ili […]
-
KINDIKI ATAKIWA KUFANIKISHA KUPANDISHWA VYEO MACHIFU WALIOONGEZA MASOMO.
Gavana wa kaunti ya Elgeyo marakwet Wesley Rotich ametoa wito kwa waziri wa usalama wa ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki kuhakikisha kwamba machifu ambao waliongeza masomo wanapandishwa vyeo na […]
-
WADAU WATAKIWA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO KATIKA SEKTA YA ELIMU POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wadau mbali mbali katika sekta ya elimu kushirikiana na kushughulikia changamoto ambazo zinakabili sekta hiyo kaunti ya Pokot magharibi. Akizungumza baada ya kuzuru shule mbali mbali kaunti […]
Top News








