Author: Charles Adika
-
ONYANCHA: MASOMO YA SEKONDARI YA MSINGI YAMEFAULU PAKUBWA KIPKOMO.
Shughuli za masomo katika shule ya sekondari ya msingi eneo la Kipkomo, pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi zinaendelea vyema kulingana na matarajio. Haya ni kulingana na mkurugenzi wa elimu […]
-
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA JUHUDI ZA KUKABILI MAKALI YA UKAME KATIKA BAADHI YA MAENEO YA POKOT MAGHARIBI.
Naibu kamishina eneo la pokot ya kati Jeremiah Tumo amesema kwamba serikali inaendelea kuweka mikakati ambayo itahakikisha kwamba ukame ambao unaendelea kushuhudiwa maeneo mbali mbali ya kaunti ya Pokot magharibi […]
-
IDARA YA USALAMA KIPKOMO YAONYA VIKALI DHIDI YA BIASHARA YA MIHADARATI NA POMBE HARAMU.
Idara ya usalama eneo la Kipkomo eneo bunge la Pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi imeapa kukabili biashara ya mihadarati eneo hilo kuhakikisha kwamba inamalizwa kabisa. Hii ni baada ya […]
Top News







