Author: Charles Adika
-
ALEUTUM: VISA VYA UTOVU WA USALAMA VIMEPUNGUA KWA ASILIMIA MOJA PEKEE POKOT MAGHARIBI TANGU KUANZA OPARESHENI DHIDI YA WAHALIFU.
Mwakilishi kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi Rael Aleutum amesema kwamba visa vya utovu wa usalama maeneo ya mipaka ya kaunti hiyo vimepungua kwa asilimia ndogo sana tangu kuanza […]
-
KINDIKI ALAUMIWA KUFUATIA MAUAJI YA MTU MMOJA LAMI NYEUSI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wamelaani vikali kisa cha kuuliwa mtu mmoja eneo la Lami nyeusi na wavamizi wanaoaminika kutoka kaunti jirani. Wakiongozwa na naibu gavana kaunti hiyo Robert Komole, […]
-
GAVANA KACHAPIN AMSUTA LONYANGAPUO KWA KUTELEKEZA MIRADI ALIYOANZISHA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesifia jengo jipya la bunge la kaunti hiyo analosema kwamba litakuwa bunge la kisasa litakalotoa mazingira bora kwa waakilishi wadi kutekeleza shughuli […]
Top News








