Author: Charles Adika
-
KINDIKI ALAUMIWA KWA KUENDELEA KUDORORA USALAMA MIPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kutoa shinikizo kwa waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki kutimiza ahadi yake ya kuwaajiri maafisa wa NPR ili […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAONYWA DHIDI YA KUJIHUSISHA NA SIASA ZA MAPEMA.
Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole ni kiongozi wa hivi punde kuwasuta viongozi ambao wanaendeleza siasa za mwaka 2027 mwaka mmoja tu tangu taifa kutoka kwenye msimu wa […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA UKEKETAJI UNAONDELEZWA KISIRI NA BAADHI YA WAZAZI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia visa vya ukeketaji ambavyo vinaendelezwa kisiri baadhi ya maeneo ya kaunti hiyo licha ya juhudi za viongozi na mashirika mbali mbali ya kijamii […]
Top News







