Author: Charles Adika
-
OGWENO: VITA DHIDI YA UKEKETAJI ALALE VIMEFAULU PAKUBWA.
Msaidizi wa kamishina eneo la Alale kaunti ya Pokot magharibi Mourice Ogweno amesema kwamba visa vya ukeketaji eneo hilo vimepungua pakubwa hadi chini ya asilimia 5 mwaka huu. Ogweno alisema […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MPANGO WA KUANGAZIA MATUMIZI YA ARDHI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia wizara ya ardhi inaendelea kuangazia mpango wa jinsi ardhi nzima ya kaunti hiyo itapangiliwa katika shughuli mbali mbali, mpango ambao umekuwa ukishughulikiwa kuanzia […]
-
MAAFISA WA KDF WASUTWA KWA MADAI YA KUWAHANGAISHA WANANCHI LAMI NYEUSI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wamewasuta maafisa wa usalama ambao wanaendesha oparesheni ya kuwakabili wahalifu ambao wamekuwa wakiendeleza wizi wa mifugo katika kaunti 6 za kaskazini mwa bonde la ufa, […]
Top News








