Author: Charles Adika
-
SHIRIKA LA ACF LAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI POKOT MAGHARIBI.
Shirika la ACF limewapokeza makundi 28 ya wakulima kutoka maeneo ya Pokot ya Kaskazini, pokot kusini na pokot ya kati kaunti ya Pokot magharibi miche ya mipaipai, miembe na miparachichi […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUBADILI DHANA KUHUSU VYUO VYA KIUFUNDI NA KUVIKUMBATIA.
Wito umetolewa kwa jamii katika kaunti ya Pokot magharibi kubadili dhana kuhusu vyuo vya kiufundi vya TVET kuwa ni vya watu ambao walifeli kwenye mitihani yao. Afisa wa mipango katika […]
-
WAZAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTAMBUA UMUHIMU WA ELIMU KWA AJILI YA WATOTO WAO.
Wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia elimu kwa ajili ya wanao kwa manufaa ya siku zao za usoni. Ni wito wake mkurugenzi wa elimu kaunti hiyo Simon Wamae […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YA POKEA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI MILIONI 49.9 KUTOKA KEMSA.
Huduma za matibabu katika hospitali za kaunti ya Pokot magharibi zinatarajiwa kuimarika zaidi baada ya serikali ya kaunti kupokea dawa za kima cha shilingi milioni 49, 900 alfu, 916 kutoka […]
Top News








