Author: Charles Adika
-
WAZAZI WALAUMIWA KWA KUKITHIRI MIMBA ZA MAPEMA MIONGONI MWA WANAFUNZI POKOT MAGHARIBI.
Katibu wa chama cha walimu nchini KNUT tawi la kaunti ya Pokot magharibi Martine Sembelo amewalaumu pakubwa wazazi kufuatia ongezeko la mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi kaunti hiyo. Akizungumza […]
-
POKOT MAGHARIBI YAORODHESHWA MIONGONI MWA KAUNTI ZILIZO NA VISA VINGI VYA UGONJWA WA KIFUA KIKUU.
Takwimu zinaonyesha kwamba kaunti ya Pokot magharibi ni moja ya kaunti ambazo zinaongoza nchini kwa visa vya wanaougua ugonjwa wa kifua kikuu. Mkurugenzi wa shirika la QuadExcel Research Training and […]
-
BARAZA LA WAZEE POKOT MAGHARIBI LAPONGEZA KUACHILIWA MIFUGO WALIOKUWA WAMEZUILIWA UGANDA.
Mwenyekiti wa baraza la wazee eneo la pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi Mastayit Lokales amepongeza hatua ya maafisa wa polisi wa taifa jirani la Uganda kuwaachilia mifugo wa wakazi […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA BIASHARA YA USHANGA KATIKA KUJIKIMU KIMAISHA.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi hasa kina mama kukumbatia biashara ya ushanga ambayo imetajwa kuwa yenye manufaa makubwa na ambayo itawasaidia katika kukimu mahitaji yao ya […]
-
UTAMADUNI WATAJWA KUWA KIZINGITI KATIKA KUAFIKIWA USAWA WA KIJINSIA POKOT MAGHARIBI.
Tamaduni na imani za kijamii pamoja na siasa zimesalia changamoto kuu katika juhudi za kuafikiwa usawa wa kijinsia katika kaunti ya Pokot magharibi. Akizungumza katika hafla ya kuwahamasisha wanahabari kuhusiana […]
Top News









