Author: Charles Adika
-
SERIKALI YAENDELEZA ZOEZI LA KUSAMBAZA CHAKULA SHULENI MHULA WA TATU UNAPOTARAJIWA KUAZA RASMI.
Shule mbali mbali za msingi eneo la Kipkomo katika kaunti ya Pokot magharibi zimepokea chakula kutoka kwa serikali ya kitaifa kupitia mpango wa lishe shuleni, shule zinapotarajiwa kufunguliwa juma lijalo […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT YA KATI YAKANA KUTUMIA NGUVU KUPITA KIASI KATIKA OPARESHENI ZA KIUSALAMA.
Idara ya usalama eneo la Pokot ya kati katika kaunti ya Pokot magharibi imepuuzilia mbali madai kwamba inatumia nguvu kupita kiasi wakati inapoendeleza oparesheni ya kukabili wahalifu ambao wanasababisha utovu […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUENDELEZA MPANGO WA LISHE SHULENI ILI KUKABILI UTAPIA MLO NA KUWAVUTIA WANAFUNZI SHULENI, SARMACH.
Visa vya utapiamlo vimekithiri eneo la Sarmach eneo bunge la Sigor kaunti ya Pokot magharibi kufuatia baa la njaa ambalo linawakabili wakazi wengi wa eneo hilo. Haya ni kulingana na […]
Top News







