Author: Charles Adika
-
MAAFISA WA KDF WASUTWA KWA MADAI YA KUWAHANGAISHA WANANCHI LAMI NYEUSI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wamewasuta maafisa wa usalama ambao wanaendesha oparesheni ya kuwakabili wahalifu ambao wamekuwa wakiendeleza wizi wa mifugo katika kaunti 6 za kaskazini mwa bonde la ufa, […]
-
KINDIKI ALAUMIWA KWA KUENDELEA KUDORORA USALAMA MIPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kutoa shinikizo kwa waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki kutimiza ahadi yake ya kuwaajiri maafisa wa NPR ili […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAONYWA DHIDI YA KUJIHUSISHA NA SIASA ZA MAPEMA.
Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole ni kiongozi wa hivi punde kuwasuta viongozi ambao wanaendeleza siasa za mwaka 2027 mwaka mmoja tu tangu taifa kutoka kwenye msimu wa […]
Top News








