Author: Charles Adika
-
DARA YA AFYA POKOT MAGHARIBI YAELEZEA WASI WASI KUHUSU ONGEZEKO LA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA HIV MIONGONI MWA VIJANA.
Takwimu zinaonyesha kwamba kuna ongezeko la maambukizi ya virusi vya HIV hasa miongoni mwa vijana katika kaunti ya Pokot magharibi. Kulingana na mshirikishi wa maswala ya HIV na magonjwa ya […]
-
SHIRIKA LA NRT, POKOT MAGHARIBI LAHIMIZA HAJA YA JAMII KUELIMISHWA KUHUSU ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI.
Mkurugenzi wa shirika la NRT kanda ya kaskazini mwa bonde la ufa Rebecca Kochulem ameelezea haja ya jamii kuhamasishwa kuhusiana athari za mabadiliko ya tabia nchi. Akizungumza jumatatu baada ya […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAWASUTA MAAFISA WA POLISI KWA KUWADHULUMU WANANCHI WANAPOENDESHA OPARESHENI YA KIUSALAMA.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuwasuta maafisa wa polisi ambao walivamia kijiji kimoja eneo la Lomut kwa kile walidai kuendeleza oparesheni ya kusaka silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria. […]
Top News








