Author: Charles Adika
-
KANISA LA ST. ANDREWS ACK KAPENGURIA LAENDELEA KUKUMBWA NA MZOZO WA UONGOZI.
Kanisa la kianglikana la St. Andrews dayosisi ya Kapenguria limeendelea kukumbwa na mzozo wa uongozi ambao umetatiza ibaada hapo jana waumini wakilalamikia mbinu inayotumika kuchagua uongozi wa kanisa hilo. Wakiongozwa […]
-
MAAFISA WA USALAMA WASHUTUMIWA KWA KUWADHULUMU WAKAZI WAKATI WA KUENDESHA MSAKO LOMUT.
Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong ameshutumu vikali kile ambacho amedai hatua ya maafisa wa jeshi kuendesha msako katika nyumba za wakazi wa eneo la Lomut kwa […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHAKIKISHIWA MAJI SAFI YA MATUMIZI.
Waziri wa maji katika kaunti ya Pokot magharibi Lucky Litole amewahakikishia wakazi wa kaunti hiyo kwamba wizara yake inaendeleza mikakati ya kuhakikisha wanapata maji safi ya matumizi. Litole alisema kwamba […]
-
VIONGOZI WA DINI WATAKA MAZUNGUMZO BAINA YA SERIKALI NA AZIMIO KUWAHUSU WAKENYA.
Viongozi wa kidini katika kaunti ya Pokot magharibi wameunga mkono mazungumzo baina ya serikali na chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya ambayo yananuia kutafuta mwafaka kuhusiana na […]
Top News








