Author: Charles Adika
-
KACHAPIN ATETEA UTENDAKAZI WAKE MWAKA MMOJA TANGU ALIPOINGIA AFISINI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kutetea utendakazi wake mwaka mmoja tangu alipochaguliwa kuongoza kaunti hiyo kwa mara ya pili, huku akiwasuta wakosoaji wake kuwa wanaondeleza siasa […]
-
MASHIRIKA YANAYOPAMBANA NA UKEKETAJI YATAJA UKOSEFU WA UFADHILI KUWA CHANGAMOTO KUU KWA SHUGHULI ZAO.
Mashirika yanayoendeleza vita dhidi ya ukeketaji katika kaunti hii ya Pokot magharibi yametaja ukosefu wa ufadhili wa mashirika hayo kifedha kuwa changamoto kuu katika juhudi zao kuhakikisha kwamba tamaduni hii […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUSHUGHULIKIA KWA DHARURA UTATA UNAOKUMBA ARDHI YA CHEPCHOINA.
Mbunge wa Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto ameitaka serikali kuchukua hatua za kushughulikia utata unaokabili ardhi yenye utata ya Chepchoina mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti […]
Top News








